Chimbuko la Tamaduni – Abagusii
RADIO OSOTUA PODCASTS Makala Yameandaliwa na John Waicua Makala ya Chimbuko la Tamaduni – Abagusii Jamii ya Abagusii ni mojawapo ya jamii zenye idadi kubwa sana ya watu katika taifa la Kenya. Katika ramani ya taifa la Kenya, jamii ya Abagusii inapatikana kwa kiwango kikubwa katika maeneo ya Kaskazini magharibi na huunganishwa na ukanda wa […]
